Aliyeivunjia heshima Qur’ani atiwa mbaroni Kuwait
Jeshi la polisi limemtia mbaroni mtu mmoja mwenye asili ya Asia baada ya kuenea mkanda wa video katika mitandao yakijamii nchini Kuwait, unaoonesha mtu huyo akikivunjia heshima Kitabu Kitakatifu cha…