Picha: Kisa cha mtoto wa miaka 6 aliyehifadhi Qur’ani nzima
Omar Makki, mtoto wa miaka 6 raia wa Misri aliyehifadhi Qur’ani nzima, amefanikiwa kuwa mwanachama mwenye umri mdogo zaidi wa Chama cha Maqarii na Mahufadh (wasomaji na waliohifadhi) wa Qur’ani…