Bunge la Ufilipino lapasisha Siku ya Taifa ya Hijab
Bunge la Ufilipino, Jumanne, Januari 26, 2021 lilipasisha Siku ya Taifa ya Hijab ikiwa ni sehemu ya mpango maalumu wa kuheshimu na kuenzi vazi hilo la staha la mwanamke wa…
Bunge la Ufilipino, Jumanne, Januari 26, 2021 lilipasisha Siku ya Taifa ya Hijab ikiwa ni sehemu ya mpango maalumu wa kuheshimu na kuenzi vazi hilo la staha la mwanamke wa…
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC Jumatano, Januari 27, 2021 imekuwa mwenyeji wa kikao cha kuzungumzia mateso ya Waislamu wa jamii ya Rohingya. Kikao hicho kilichofanyika kwa njia ya Intaneti…
Stephen Jackson, mchezaji maarufu wa zamani wa mpira wa vikapu katika ligi maarufu ya NBA ya Marekani, ametangaza kusilimu na kuingia katika dini tukufu ya Kiislamu. Ametoa tangazo rasmi la…