Mpango wa kujengwa Msikiti mkubwa zaidi kaskazini magharibi mwa Uingereza, wapasishwa
Mpango wa kujengwa Msikiti mkubwa zaidi huko kaskazini magharibi mwa Uingereza, umepasishwa na Baraza la Mji wa Blackburn. Mtandao wa habari wa Arab News umeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa, mradi huo…