Mchele mweusi ni nini na sifa zake za kipekee ni zipi?
Mchele mweusi ni mojawapo ya aina maalumu na za hali ya juu za mchele. Kama chakula muhimu, mchele huu una nafasi maalumu katika kitanga cha chakula cha kila kaya kote…
Mchele mweusi ni mojawapo ya aina maalumu na za hali ya juu za mchele. Kama chakula muhimu, mchele huu una nafasi maalumu katika kitanga cha chakula cha kila kaya kote…
Makumbusho ya Sanaa ya Kiislamu ya Cairo yameadhimisha mwaka wa 119 tangu kufunguliwa kwake. Jumba hilo la makumbusho lina moja ya mkusanyiko mkubwa wa kustaajabisha na wa kuvutia mno wa…
Ingawa Timu ya Taifa ya Kandanda ya Tunisia imeshindwa kuingia kwenye hatua ya mtoano ya Mashindano ya Kombe la Dunia 2022 yanayoendelea nchini Qatar hivi sasa, lakini imetoka kibabe kwa…
Gazeti moja la kila siku la nchini Uingereza limegusia jinsi Qatar ilivyoshikamana na mafundisho ya Uislamu wakati huu ikiwa mwenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia la kabumbu na kuandika:…
Bunge la Ufilipino limepasisha tarehe Mosi Febrauri kuwa Siku ya Taifa ya Hijab kama ambavyo bunge hilo limetambua rasmi pia uwepo wa Baraza la Taifa la Waislamu wa Ufilipino likiwa…
Licha ya kuwa Waislamu nchini Thailand ni jamii ya wachache ikilinganishwa na Mabudha, lakini Waislamu hao wameonesha uwezo mkubwa wa kupata watengenezaji wa vyakula vya halali na vinywaji. Kwa mujibu…
Waziri Mkuu wa Misri ametangaza kuafikiana na mpango wa kufanyika Mashindano ya 6 ya Kimataifa ya Qur’ani huko Port Said, Misri. Kwa mujibu wa Al-Mal News, Waziri Mkuu wa Misri,…
Taasisi ya Mahusiano ya Mbari imetangaza habari ya kuanzishwa sheria mpya nchini Uingereza ambazo zinaruhusu kupokonywa uraia wa nchi hiyo Waislamu na kugeuzwa kuwa raia wa daraja la pili. Televisheni…
Taasisi ya Al-Azhar Observer ya Chuo Kikuu cha al Azhar cha imesema katika ripoti yake kuwa, matamshi ya chuki dhidi ya Waislamu katika vyombo vya habari vya Magharibi yameongezeka huku…
Waislamu nchini India wameilalamikia mahakama moja ya nchi hiyoi kwa kutupilia mbali ombi lao la kupuuza shauri la wanawake wa kibaniani la kutaka kuupora Msikiti wao. Ikumbukwe kuwa, kundi moja…