Ibada ya Umra kwa walioko nje ya Saudia kuruhusiwa karibuni hivi
Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, iko tayari kupokea Waislamu kwa ajili ya ibada za Hija na Umra kutoka nje ya Saudia. Abdulrahman Shams, mwakilishi wa…
Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, iko tayari kupokea Waislamu kwa ajili ya ibada za Hija na Umra kutoka nje ya Saudia. Abdulrahman Shams, mwakilishi wa…
Waziri wa Masuala ya Dini wa Tunisia amemuenzi na kumtunuku zawadi Maryam Uthmani, binti mdogo zaidi kuhifadhi Qur’ani katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. Watu mbalimbali muhimu wamehudhuria sherehe…
Mtandao wa Utafiti wa Waislamu wa Uingereza (MBRN) una nia ya kuitisha kongamano mwezi Disemba mwaka huu kuhusu athari za COVID-19 kwa Waisamu wa nchi hiyo. Taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti…
Joe Biden, mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Democrats ambaye ni mpinzani mkubwa wa rais wa hivi sasa wa Marekani, Donald Trump kwa mara nyingine ameahidi kuwashirikisha Waislamu…
Kituo kimoja cha elimu cha Waislamu nchini Marekani cha Msikiti wa San Antonio katika jimbo la Texas kimewekwa maalumu kwa ajili ya kutoa huduma bure ya vipimo vya corona kutokana…
Wakuu wa serikali ya Maldives wametangaza uamuzi wa kuwasomesha dini na Qur’ani raia wake waishio nje ya nchi, kwa njia ya Intaneti. Mtandao wa habari wa AVAS umemnukuu Naibu Rais…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu amejibu matamshi yaliyo dhidi ya Uislamu yaliyotolewa na rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron aliyedai kuwa eti dini ya Kiislamu ni hatari kwa…
Familia za wahanga wa kitendo cha kihalifu cha shirika moja la Ufaransa cha kuingiza damu chafu ya UKIMWI nchni Iraq zimetaka shirika hilo lishtakiwe kwa jinai yake hiyo. Kwa mujibu…
Athari kadhaa za sanaa za mkono za zama za kale za Uislamu ukiwemo ukurasa wa Msahafu wa zamani zaidi wa Qur’ani Tukufu katika Christie’s zitapigwa mnada mwishoni mwa mwezi huu…
Raia mmoja wa Kuwait amepata umaarufu sana katika mitandao ya kijamii kwa kuweka bango la ramani ya ardhi ya Palestina mbele ya nyumba yake ikiwa ni kutangaza upinzani wake kwa…