Mauritania wamuhami Mtume Muhammad SAW
Waislamu katika nchi ya magharibi mwa Afrika ya Mauritania wamefanya maandamano makubwa kupinga jinai ya jarida moja la Ufaransa la kumtovukia adabu ruwaza ya Waislamu, Mtume Muhammad SAW. Maandamano ya…
Waislamu katika nchi ya magharibi mwa Afrika ya Mauritania wamefanya maandamano makubwa kupinga jinai ya jarida moja la Ufaransa la kumtovukia adabu ruwaza ya Waislamu, Mtume Muhammad SAW. Maandamano ya…
Umoja wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu Duniani umeitisha mkutano wa kimataifa kwa ajili ya kujadiliana nafasi ya vyuo vikuu katika kutumikia jamii na kuzisaidia jamii hizo kutatua matatizo ya ulimwengu…
Siku mbili za Jumanne na Jumatano, Septemba 8 na 9, 2020, yalifanyika mashindano ya watu wazima ya Nusu Fainali ya Qur’ani Tukufu nchini Brunei. Mashindano hayo ya siku mbili yaliyofanyika…
Mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa ajili ya wanafunzi wa nchi za kigeni wanaosoma nchini Misri yalianza Jumatatu ya Septemba 7, 2020. Mashindano hayo yameitishwa na Kituo cha Kiislamu cha al…
Wizara ya Wakfu ya Misri imempa adhabu Imam mmoja wa msikiti nchini humo kwa madai ya kurefusha khutba za Ijumaa na kupindukia muda alioanishiwa. Mtandao wa habari wa “al Misri…
Mbunge mmoja nchini Mauritania ameitaka serikali ya nchi hiyo kutumia vizuri fursa ya usomeshaji Qur’ani ili kujenga jamii salama, tiifu na iliyopambika kwa sifa bora za kibinadamu na kimaadili. Mbunge…
Jaji mmoja nchini Canada ambaye miaka mitano iliyopita alikataa kusikiliza kesi ya mwanamke Muislamu kutokana na kwamba amevaa vazi la staha ya Kiislamu la Hijab, hatimaye ameomba radhi baada ya…
Waislamu nchini India wanaendelea na mpango wao wa kujenga hosptali ya kutoa huduma za kila namna pembeni mwa msikiti katika kijiji cha Dhannipur cha eneo la Ayodhya huko Uttar Pradesh.…
Serikali ya Uingereza imefikia uamuzi wa kupiga marufuku zaidi ya watu kukusanyika pamoja kuanzia Jumatatu ya Septemba 14, 2020 kutokana na kuanza wimbi jipya la maambukizo ya ugonjwa wa COVID-19.…
Kiongozi Mkuu wa kidini wa Iran ametuma ujumbe wa maandishi na kulaani kitendo cha jarida la Charlie Hebdo la Ufaransa cha kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW. Katika ujumbe wake huo,…