Mchele mweusi ni nini na sifa zake za kipekee ni zipi?
Mchele mweusi ni mojawapo ya aina maalumu na za hali ya juu za mchele. Kama chakula muhimu, mchele huu una nafasi maalumu katika kitanga cha chakula cha kila kaya kote…
Mchele mweusi ni mojawapo ya aina maalumu na za hali ya juu za mchele. Kama chakula muhimu, mchele huu una nafasi maalumu katika kitanga cha chakula cha kila kaya kote…
Makumbusho ya Sanaa ya Kiislamu ya Cairo yameadhimisha mwaka wa 119 tangu kufunguliwa kwake. Jumba hilo la makumbusho lina moja ya mkusanyiko mkubwa wa kustaajabisha na wa kuvutia mno wa…
Licha ya kuwa Waislamu nchini Thailand ni jamii ya wachache ikilinganishwa na Mabudha, lakini Waislamu hao wameonesha uwezo mkubwa wa kupata watengenezaji wa vyakula vya halali na vinywaji. Kwa mujibu…
Taasisi ya Al-Azhar Observer ya Chuo Kikuu cha al Azhar cha imesema katika ripoti yake kuwa, matamshi ya chuki dhidi ya Waislamu katika vyombo vya habari vya Magharibi yameongezeka huku…
Bismillahir Rahmanir Rahim. يَا أَيُّهَا النَّاسُ قَدْ جَاءَتْكُم مَّوْعِظَةٌ مِّن رَّبِّكُمْ وَشِفَاء لِّمَا فِي الصُّدُورِ وَهُدًى وَرَحْمَةٌ لِّلْمُؤْمِنِينَ – قُلْ بِفَضْلِ اللَّهِ وَبِرَحْمَتِهِ فَبِذَلِكَ فَلْيَفْرَحُواْ هُوَ خَيْرٌ مِّمَّا يَجْمَعُونَ (57)…
Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuhu. Ndugu yangu, Je unajua tasbihi ni nini? Tasbihi ni dhikri ambayo wawalikuwa wakiisoma mtawalia ndege na majabali pamoja na Nabii Daud AS. Qur’ani…
Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Leo wanafunzi wenzangu nataka tuzungumzie kidogo lengo la kutumwa Mtume kwa wanadamu. Nitazungumza kwa mujibu wa aya ya pili ya sura ya 62…
‘بِسْمِ ٱللَّٰهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ أَمۡ يَقُولُونَ شَاعِرٞ نَّتَرَبَّصُ بِهِۦ رَيۡبَ ٱلۡمَنُونِ Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Leo nilikuwa nasoma sura ya 52 ya Tur nikaguswa zaidi na hiyo…
Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Ndugu mmoja ametoa malalamiko na masikitiko yake akisema, sisi ni ndugu watano. Mimi ndiye tajiri kuliko wote. Lakini sijui kwa nini jamaa zangu…
Labda ndugu yangu utakuwa unajiuliza, ni ipi tofauti baina ya neema, riziki na baraka? Nitakwambia. Neema ni kile kinachoingia mkononi mwako. Mfano fedha, unapopata fedha, hii ni neema. Mtu anaweza…