Sheikh Mahmoud Shahat Anwar, mmoja wa maqarii bingwa vijana wa Misri, ameshiriki katika Maulidi ya Mtume Muhammad SAW na kusoma kwa sura nzuri aya za Qur’ani Tukufu zilizowasisimua hadhirina wote.

Maulidi hayo yalisomwa Alkhamisi, Novemba 5, 2020 katika kijiji cha Mit Gaber cha mji wa Belbes mkoani Ash Sharqia, kaskazini mwa Misri.

Amesoma “maa yatayassar” katika aya za Surat al Kahf na Taha na kushukuriwa mno na hadhirina. Hapa chini tumeweka kipande cha video ya qiraa yake hiyo.

(Visited 94 times, 1 visits today)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!