Misikiti 4000 yafunguliwa Tajikistan baada ya kufungwa kwa miezi 9
Milango ya Misikiti 4000 imefunguliwa baada ya kufungwa kwa zaidi ya miezi 9 kutokana na janga la corona. Televisheni ya France 24 imetangaza habari hiyo na kuongeza kuwa, Kamati ya…