Msanii wa Pakistan afanikiwa kufuma Qur’ani nzima katika penseli 8,000 + PICHA
Msanii mmoja raia wa Pakistan amepata taufiki ya kufuma aya zote za Qur’ani Tukufu kwenye penseli 8,000 katika kipindi cha miaka 10. Tovuti ya lugha ya Kiarabu ya televisheni ya…
Mabaniani wenye misimamo mikali wataka India nzima ipige marufuku Hijab mashuleni
Baada ya shule za jimbo la Karnataka nchini India kupiga marufuku vazi la staha la Hijab, magenge yenye misimamo mikali ya Kibaniani na Kihindu yameyataka majimbo mengine ya India yafuate…
Majambazi wawili wa kutumia silaha walioiba Msikitini watiwa mbaroni nchini Marekani
Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu limeitaka serikali ya nchi hiyo kuimarisha ulinzi katika maeneo ya Waislamu baada ya kutiwa mbaroni majambazi wawili kwa tuhuma za kufanya wizi wa…
Wanaharakati wa Palestina watoa mwito kwa Waislamu kushiriki kwa wingi Sala ya Alfajiri siku ya Ijumaa
Wanaharakati wa Palestina wametoa mwito wa Wapalestina wote, wajitokeza kwa wingi katika Sala ya Asubuhi ya Ijumaa ya wiki hii ya tarehe 11 Machi, 2022 itakayosadifiana na mwezi 8 Shaaban…
Al Azhar yatahadharisha kuhusu njama mbaya dhidi ya Msikiti wa al Aqsa
Taasisi ya kupambana na misimamo ya kuchupa mipaka inayofanya kazi chini ya Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri imetahadharisha kuhusu njama mbaya za Israel vamizi dhidi ya Kibla cha…
Video: Bikizee wa miaka 102 atangaza nia ya kugombea urais wa Nigeria 2023
Ajuza wa miaka 102 nchini Nigeria ametangaza nia yake ya kugombea urais wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika unaotarajiwa kufanyika mwakani 2023. Kwa mujibu wa tovuti ya “Naija News,”…
Taasisi za Kiislamu Nigeria zaitaka serikali isiwabague wanaovaa vazi la staha la Hijab
Taasisi za Kiislamu nchini Nigeria zimeitaka serikali ya shirikisho ya nchi hiyo kukomesha ubaguzi inaowafanyia wanawake na wasichana wanaovaa vazi la staha la Hijab. Tovuti ya habari ya Vanguard imeripoti…
Jimbo la Michigan nchini Marekani lapasisha Siku ya Kimataifa ya Hijab
Baraza la Sanate la jimbo la Michigan limepasisha na kutambua rasmi maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Hijab ambayo ni tarehe Mosi Februari. Tovuti ya Odisha imeinukuu redio WDET 101.9FM…
Taliban yaruhusu wanafunzi wa kike kuanza tena masomo vyuo vikuu vya serikali
Wakuu wa kundi la Taliban nchini Afghanistan wametangaza kuwa, kwa mara ya kwanza tangu walipochukua madaraka ya nchi hiyo, wameruhusu wanafunzi wa kike washiriki katika masomo ya vyuo vikuu vya…
LENGO LA KUTUMWA MTUME SAW
Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Leo wanafunzi wenzangu nataka tuzungumzie kidogo lengo la kutumwa Mtume kwa wanadamu. Nitazungumza kwa mujibu wa aya ya pili ya sura ya 62…