Category: Tungo

HIVYO SAFARI HAYENDI

Na Mohammed K. Ghassani ****** Wajipigao vifua, kwa kujiita washindi Ilhali wanajuwa, visa na vyao vitimbi Hawepewa wechukua, kwa nguvu, kyedi na shindi Wakae wakitambuwa, hivyo safari hayendi. ******* Wajisifuo…

HEKO KUMI LA REHEMA

Bismillahi ‘Aliyyun, Ya Ilahi Ya RahimuBismillahi Qawiyyun, nguvu ni Zako QayyumuBismillahi Ghafurun, toba ni Kwako HakimuHeko kumi la rehema, Allah katujaalia. Bismillahi Basirun, unatuona wajaoBismillahi Samiun, tusikize viumbeoBismillahi Munirun, nawirisha…

NI KUMI LA GHUFURANI

Allah jina takatifu, naanza ya RahmaniKwa jina Lako Latwifu, baraka za RamadhaniSamehe hai na wafu, sote tuwe neemaniRabi turuzuku toba, ni kumi la ghufurani. *** Turudi Kwake Raufu, Yaayyuha wauminiTusijifanye…

error: Content is protected !!