Kikao cha sheria mpya za tafsiri za Qur’ani chamalizika Islamabad Pakistan kwa nasaha muhimu
Mkutano wa kimataifa wa siku mbili uliozungumzia tafsiri za Qur’ani Tukufu umemalizika katika Chuo Kikuu cha Huria cha Allama Iqbal (AIOU), jijini Islamabad, Pakistan. Hayo yameripotiwa na mtandao wa habari…