Waislamu Canada wataka mauaji ya msikitini Toronto yaitwe ugaidi
Baraza la Taifa la Waislamu nchini Canada limetaka mauaji yaliyotokea katika msikiti mmoja mjini Torondo dhidi ya Muislamu mmoja yatambuliwe kuwa ni tukio la kigaidi kwani lilifanyika kutokana na hisia…