Picha: Hatimaye Msikiti mkubwa zaidi Afrika wafunguliwa
Hatimaye Msikiti mkubwa zaidi barani Afrika na ambao ni wa tatu kwa ukubwa duniani umefunguliwa rasmi leo Jumatano, Oktoba 28, 2020 kwa kusaliwa Sala ya jamaa nchini Algeria. Hayo yametangazwa…
Hatimaye Msikiti mkubwa zaidi barani Afrika na ambao ni wa tatu kwa ukubwa duniani umefunguliwa rasmi leo Jumatano, Oktoba 28, 2020 kwa kusaliwa Sala ya jamaa nchini Algeria. Hayo yametangazwa…
Hasira za Waislamu katika kona mbalimbali za dunia zimeongezeka kwa ajili ya kumnusuru Nabii wa rehema, Mtume Muhammad SAW baada ya kuvunjiwa heshima huko Ufaransa. Viongozi, maulamaa, watu muhimu na…
Hapa chini tumeweka sauti za maqarii wanne wakubwa wa Qur’ani Tukufu (Mwenyezi Mungu awarehemu) wakisoma aya za mwanzoni mwa Surat al Balad. Maqarii hao ni Maustadh Abdul Basit Muhammad Abdus…
Mkutano wa 34 wa Umoja wa Kiislamu mwaka huu umepangwa kufanyika kwa njia ya Intaneti katika eneo la Mashariki na Kusini Mashariki mwa Asia kuanzia siku chache zijazo. Mkutano huo…
Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri kimelaani mauaji ya wanawake wawili Waislamu waliokuwa wamevaa vazi la staha la Hijab na kusisitizia msimamo wake wa daima wa…
Waislamu wa Korea Kusini wamegawanyika mafungu mawili, wenye asili ya Korea na wasio na asili ya Kora. Waislamu hao wana tajiriba, uzoefu na daghadagha ambazo ni simulizi za kuvutia. Licha…
Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, iko tayari kupokea Waislamu kwa ajili ya ibada za Hija na Umra kutoka nje ya Saudia. Abdulrahman Shams, mwakilishi wa…
Kipande hiki cha video hapa chini kinawaonesha ndugu watano maqarii wa tajwidi raia wa Misri wakisoma kwa kupokezana aya za 61 hadi 65 za Surat Furqan kwa kutumia maqam tofauti…
Wananchi wa Saudi Arabia, leo Jumapili, tarehe 18 Oktoba 2020 wameanza kusali sala ya jamaa ya Alfajiri katika Msiki Mtakatiafu wa Makkah baada ya miezi saba ya karantini ya COVID-19.…
Waziri wa Masuala ya Dini wa Tunisia amemuenzi na kumtunuku zawadi Maryam Uthmani, binti mdogo zaidi kuhifadhi Qur’ani katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. Watu mbalimbali muhimu wamehudhuria sherehe…