Video + Picha Msikiti wenye muundo wa ajabu nchini Russia
Msikiti wa Lala Tulpan ulioko mjini Ufa, makao makuu ya Jamhuri ya Bashkortostan nchini Russia ni moja ya misikiti mikubwa zaidi nchini Russia na ni maarufu kwa muundo wake wa…
Msikiti wa Lala Tulpan ulioko mjini Ufa, makao makuu ya Jamhuri ya Bashkortostan nchini Russia ni moja ya misikiti mikubwa zaidi nchini Russia na ni maarufu kwa muundo wake wa…
Taarifa kutoka nchini Japan zinasema kuwa, idadi ya raia wa nchi hiyo wanaosilimu na kuingia katika dini tukufu ya Kiislamu inaongezeka sana siku hadi siku. Idadi ya Waislamu wenye asili…
Mwanamke wa anayevaa vazi la staha la Waislamu, Hijab, ameteuliwa kwa mara ya kwanza kabisa kuendesha kipindi mubashara katika televisheni katika historia yote ya Canada. Vyombo vya habari vimeripoti habari…
Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa, itaukarabati Msikiti wa Najjashi wa kaskazini mwa nchi hiyo ambao ni moja ya Misikiti ya kale zaidi katika Ulimwengu wa Kiislamu. Msikiti huo uliharibiwa wakati…
Msikiti mkuu wa Colombo, mji mkuu wa Sri Lanka ambao ni maarufu kwa jina la Msikiti Mwekundu, ni kivutio cha kipekee kabisa cha utalii kutokana na muundo na usanifu majengo…
Msikiti wa Mir Muhammad Shah wa jimbo la Heyderabad, kusini mw India, ni moja ya Misikiti midogo zaidi inayojulikana duniani leo hii ingawa sasa hivi uko katika hatari kubwa ya…