Mhadhiri wa Chuo Kikuu ahimiza wajibu wa kuisoma na kuielewa ipasavyo Qur’ani Tukufu
Ibrahim al Wazin, mhadhiri wa chuo cha Qur’ani cha mji wa Tanta nchini Misri ambacho ni kitengo cha Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amesema kuwa, kuna umuhimu wa…
Ibrahim al Wazin, mhadhiri wa chuo cha Qur’ani cha mji wa Tanta nchini Misri ambacho ni kitengo cha Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amesema kuwa, kuna umuhimu wa…
Katika kipindi chote hiki cha kuenea janga la corona nchini Ujerumani, wananchi wa nchi hiyo wamekumbwa na woga, kukosa usalama na maswali mengi yasiyo na majibu. Uchunguzi unaonesha kuwa, Wajerumani…
Ofisi ya Biashara na Viwanda ya Abuja, mji mkuu wa Nigeria imetangaza mpango wa kuitishwa maonyesho ya kimataifa ya Bidhaa Halalikatika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika. Kwa mujibu wa…
Wanawake 66 wamefanikiwa kuingia katika fainali za mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Iraq, mashindano ambayo yanaendeshwa na kusimamiwa kikamilifu na wanawake wenyewe. Tovuti ya “Markaz al Qur’an…
Ujenzi wa Msikiti na kituo kipya cha Kiislamu unaendelea katika mji wa East Brunswick wa jimbo la New Jersey nchini Marekani. Kwa mujibu wa tovuti ya “Tapinto” uzinduzi wa ujenzi…
Masjid al Rahman, ni Msikiti wa aina yake uliojengwa katikati ya mto kwenye kijiji cha Pulau Gajah, karibu na Kora Bharu, Kelantan, huko kaskazini mashariki mwa Malaysia. Miongoni mwa vivutio…
Mchungaji mmoja wa Nigeria ambaye hivi sasa anaishi Minnesota Marekani ameamua kuukarabati Msikiti wa miaka 60 huko Ikire, katika jimbo la Osun, kusini magharibi mwa Nigeria ili kulipa fadhila alizofanyiwa…
Kikao cha 12 cha kiuchumi baina ya Russia na nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiislamu OIC maarufu kwa jina la Baraza la Kazan, kimeanza katika makao makuu hayo…
Mahakama ya Umoja wa Ulaya (CJEU) imetoa hukumu ya kukandamiza uhuru wa mavazi wa wanawake wawili Waislamu wa nchini Ujerumani. Vyombo mbalimbali vya habari kama France24, Reuters, Arabi21 n.k, vimeripoti…
Kwa mwaka wa pili mfululizo, Sala ya Idul Adh’ha inatarajiwa kusaliwa katika uwanja mkubwa wa michezo katika mji mkuu wa Ireland, Dublin, wiki ijayo Kwa mujibu wa Irish Times, Waislamu…