Ukurasa wa Msahafu wa kale zaidi kupigwa mnada nchini Uingereza
Athari kadhaa za sanaa za mkono za zama za kale za Uislamu ukiwemo ukurasa wa Msahafu wa zamani zaidi wa Qur’ani Tukufu katika Christie’s zitapigwa mnada mwishoni mwa mwezi huu…
Athari kadhaa za sanaa za mkono za zama za kale za Uislamu ukiwemo ukurasa wa Msahafu wa zamani zaidi wa Qur’ani Tukufu katika Christie’s zitapigwa mnada mwishoni mwa mwezi huu…
Jeshi la polisi limemtia mbaroni mtu mmoja mwenye asili ya Asia baada ya kuenea mkanda wa video katika mitandao yakijamii nchini Kuwait, unaoonesha mtu huyo akikivunjia heshima Kitabu Kitakatifu cha…
Daktari mmoja wa dini ya Kihindu (Kibaniani) anayeishi nchini Canada anatumia visomo vya Qur’ani kuharakisha kupona wagonjwa wake. Mdandao wa “The Siasat Daily” umeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa, Daktari…
Nakala ndefu zaidi ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono kwenye kitambaa cha kilomita 3.1 imezinduliwa nchini India. Toleo la mtandaoni la gazeti la kila siku la The New Indian Express…
Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri leo Jumamosi kimeidhinisha kuanza masomo ya Qur’ani yaliyokuwa yamesimamishwa nchini humo kutokana na maambukizo ya kirusi cha corona. Mtandao wa…
Maimamu na makhatibu wa misikiti nchini Misri pamoja na vyuo vya Qur’ani na vituo vya kielimu vya nchi hiyio vimeitaka Wizara ya Wakfu ifungue upya harakati za Qur’ani na elimu…
Nakala tatu za zamani na za kihistoria hivi sasa zinahifadhiwa katika maktaba moja ya mjini New York, Marekani zikiwa na umri wa zaidi ya miaka 500. Mtandao wa habari wa…
Muhammad Abdul Hadi, baba wa watoto wanne waliozaliwa na upungufu wa kiungo cha macho nchini Saudi Arabia, watatu wanaume na mmoja mwanamke, amepata taufiki ya kuwalea vizuri watoto wake hao…
Sherehe za mwaka wa 12 wa tangu kufunguliwa Bustani ya Qur’ani nchini Qatar zimefanyika lakini kwa njia ya Intaneti kutokana na kuenea ugonjwa wa COVID-19. Bustani hiyo ni ya Taasisi…
Waziri wa Wakfu wa Misri ametangaza habari ya kufunguliwa vituo 69 vya Qur’ani katika misikiti mikubwa ya nchi hiyo kwa ajili ya kulea vijana wanaohifadhi Qur’ani Tukufu na wanafunzi wa…