Machafuko Ufaransa, Msikiti wachomwa moto
Unyanyasaji na udhalilishaji wa Waislamu unaendelea nchini Ufaransa na tukio la karibuni kabisa ni kuchomwa moto msikiti mmoja kaskazini mwa nchi hiyo. Shirika la habari la Anadolu limemnukuu Fatih Sarikir,…
Unyanyasaji na udhalilishaji wa Waislamu unaendelea nchini Ufaransa na tukio la karibuni kabisa ni kuchomwa moto msikiti mmoja kaskazini mwa nchi hiyo. Shirika la habari la Anadolu limemnukuu Fatih Sarikir,…
Maandamano ya kulaani kitendo cha kifidhuli cha viongozi wa Ufaransa cha kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW na matukufu ya Waislamu yanaendelea kwa sura tofauti katika kona zote za ulimwengu wa…
Hasira za Waislamu katika kona mbalimbali za dunia zimeongezeka kwa ajili ya kumnusuru Nabii wa rehema, Mtume Muhammad SAW baada ya kuvunjiwa heshima huko Ufaransa. Viongozi, maulamaa, watu muhimu na…
Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri kimelaani mauaji ya wanawake wawili Waislamu waliokuwa wamevaa vazi la staha la Hijab na kusisitizia msimamo wake wa daima wa…
Waislamu wa Korea Kusini wamegawanyika mafungu mawili, wenye asili ya Korea na wasio na asili ya Kora. Waislamu hao wana tajiriba, uzoefu na daghadagha ambazo ni simulizi za kuvutia. Licha…
Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, iko tayari kupokea Waislamu kwa ajili ya ibada za Hija na Umra kutoka nje ya Saudia. Abdulrahman Shams, mwakilishi wa…
Mtandao wa Utafiti wa Waislamu wa Uingereza (MBRN) una nia ya kuitisha kongamano mwezi Disemba mwaka huu kuhusu athari za COVID-19 kwa Waisamu wa nchi hiyo. Taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti…
Joe Biden, mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Democrats ambaye ni mpinzani mkubwa wa rais wa hivi sasa wa Marekani, Donald Trump kwa mara nyingine ameahidi kuwashirikisha Waislamu…
Familia za wahanga wa kitendo cha kihalifu cha shirika moja la Ufaransa cha kuingiza damu chafu ya UKIMWI nchni Iraq zimetaka shirika hilo lishtakiwe kwa jinai yake hiyo. Kwa mujibu…
Baraza la Uhusiano na Marekani na Uislamu jana Jumamosi lilijiunga na asasi za eneo la Joplin kumtaka Mkuu wa Kaunti ya Jasper, John Bartosh ajiuzulu baada ya kupata jumbe zake…