Njia sita nyepesi za kukupa thawabu hata baada ya kufariki dunia
Bisimillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema ametuwekea njia nyingi sana za kuweza mtu kujiandalia mazingira mazuri ya kuendelea kupokea wimbi kubwa la thawabu hata…