Picha na Video: ‘Taj Mahal;’ Msikiti wenye mvuto wa kipekee Mashariki ya Kati
Msikiti wa Fatimatuz Zahra (AS) wa nchini Kuwait, ambao ni maarufu kwa jina la Taj Mahal ya Mashariki ya Kati, ni katika majengo yenye mvuto wa kipekee kwenye eneo la…
Msikiti wa Fatimatuz Zahra (AS) wa nchini Kuwait, ambao ni maarufu kwa jina la Taj Mahal ya Mashariki ya Kati, ni katika majengo yenye mvuto wa kipekee kwenye eneo la…
Mwandishi wa Qur’ani Tukufu mwenye umri mdogo zaidi nchini Misri amepewa kibali cha kuandika Kitabu hicho kitakatifu na Chama cha Waandishi wa Khat (Kaligrafia – Calligraphy) cha nchi hiyo. Mtandao…
Makumbusho ya Kiislamu nchini Australia, ni kivutio cha kipekee kutokana na mvuto wa jengo lake kabla ya jambo lolote lile. Jengo hilo liko katika eneo la Thornbury jijini Melbourne, Victoria,…
Msahafu wa kwanza kabisa kimili na sahihi ulichapishwa nchini Russia mwaka 1803 Milaadia. Msahafu huo ulichapishwa katika mji wa Kazan, makao makuu ya Jamhuri ya Tatarstan huko Russia. Toleo la…
Wanawake Waislamu nchini Nigeria wamewataka viongozi wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika watoe adhabu kali kwa kila anayewanyanyapaa na kuwadhalilisha wanawake wanaovaa nguo za staha ya mwanamke wa Kiislamu,…
Milango ya Misikiti 4000 imefunguliwa baada ya kufungwa kwa zaidi ya miezi 9 kutokana na janga la corona. Televisheni ya France 24 imetangaza habari hiyo na kuongeza kuwa, Kamati ya…
Baraza la Kiislamu la Uingereza (MCB) kwa mara ya kwanza limemchagua mwanamke kuwa mkurugenzi wake mkuu. Mtandao wa habari wa al Arabi al Jadid umeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa,…
Msikiti Mkuu wa mji wa Taipei, ni moja ya majengo muhimu sana katika makao makuu hayo ya Taiwan. Huo ndio Msikiti mkubwa zaidi na maarufu zaidi huko Taiwan. Una ukubwa…
Bunge la Ufilipino, Jumanne, Januari 26, 2021 lilipasisha Siku ya Taifa ya Hijab ikiwa ni sehemu ya mpango maalumu wa kuheshimu na kuenzi vazi hilo la staha la mwanamke wa…
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC Jumatano, Januari 27, 2021 imekuwa mwenyeji wa kikao cha kuzungumzia mateso ya Waislamu wa jamii ya Rohingya. Kikao hicho kilichofanyika kwa njia ya Intaneti…