Mchezaji wa zamani wa ligi ya NBA Marekani, asilimu
Stephen Jackson, mchezaji maarufu wa zamani wa mpira wa vikapu katika ligi maarufu ya NBA ya Marekani, ametangaza kusilimu na kuingia katika dini tukufu ya Kiislamu. Ametoa tangazo rasmi la…
Stephen Jackson, mchezaji maarufu wa zamani wa mpira wa vikapu katika ligi maarufu ya NBA ya Marekani, ametangaza kusilimu na kuingia katika dini tukufu ya Kiislamu. Ametoa tangazo rasmi la…
Sheikh Muhammad Siddiq al Minshawi mmoja wa maqarii bingwa wa Qur’ani Tukufu alizaliwa tarehe 20 Januari, 1920 katika mji wa al Minshah katika mkoa wa Sohag wa kusini mwa Misri.…
Mhadhiri mmoja wa chuo cha lugha na fasihi ya Kiarabu katika Chuo Kikuu cha Sidney nchini Australia amesema kuwa, kwa mara ya kwanza Lugha ya Qur’ani wataanza kusomeshwa wanafunzi wa…
Saa chache tu tangu baada ya kuapishwa kuwa rais wa 46 wa Marekani, Joseph Robinette Biden Jr. amekwenda katika Ikulu ya nchi hiyo White House na kutia saini amri na…
Jumba la Makumbusho ya Ustaarabu wa Kiislamu la Sharjah nchini Imarati (UAE) ni moja ya makumbusho makubwa zaidi katika ukanda mzima wa magharibi mwa Asia. Miongoni mwa vitu vya thamani…
Masomo daraja ya juu ya kanuni na hukmu za Qur’ani Tukufu; maalumu kwa ajili ya walimu wa Qur’ani wa kiume na kike wa Indonesia yanaendelea hivi sasa kwa njia ya…
Shirika la haki za binadamu la Human Rights Watch limeilalamikia serikali ya Emmanuel Macron ya Ufaransa kwa msimamo wake wa kuihesabu dini ya Kiislamu kuwa tishio la “kigaidi” na kusisitiza…
Msikiti wa Lala Tulpan ulioko mjini Ufa, makao makuu ya Jamhuri ya Bashkortostan nchini Russia ni moja ya misikiti mikubwa zaidi nchini Russia na ni maarufu kwa muundo wake wa…
Taarifa kutoka nchini Japan zinasema kuwa, idadi ya raia wa nchi hiyo wanaosilimu na kuingia katika dini tukufu ya Kiislamu inaongezeka sana siku hadi siku. Idadi ya Waislamu wenye asili…
Mwanamke wa anayevaa vazi la staha la Waislamu, Hijab, ameteuliwa kwa mara ya kwanza kabisa kuendesha kipindi mubashara katika televisheni katika historia yote ya Canada. Vyombo vya habari vimeripoti habari…