Waislamu Waafrika waenziwa nchini Canada
“Mapambano na Mafanikio ya Waislamu wenye asili ya Afrika” imeteuliwa kuwa kaulimbiu ya ratiba maalumu za “Mwezi wa Historia ya Waislamu” ambao huadhimishwa kila mwaka nchini Canada. Mtandao wa “Muslim…
“Mapambano na Mafanikio ya Waislamu wenye asili ya Afrika” imeteuliwa kuwa kaulimbiu ya ratiba maalumu za “Mwezi wa Historia ya Waislamu” ambao huadhimishwa kila mwaka nchini Canada. Mtandao wa “Muslim…
Sherehe za mwaka wa 12 wa tangu kufunguliwa Bustani ya Qur’ani nchini Qatar zimefanyika lakini kwa njia ya Intaneti kutokana na kuenea ugonjwa wa COVID-19. Bustani hiyo ni ya Taasisi…
Baraza la Taifa la Waislamu nchini Canada limetaka mauaji yaliyotokea katika msikiti mmoja mjini Torondo dhidi ya Muislamu mmoja yatambuliwe kuwa ni tukio la kigaidi kwani lilifanyika kutokana na hisia…
Waziri wa Wakfu wa Misri ametangaza habari ya kufunguliwa vituo 69 vya Qur’ani katika misikiti mikubwa ya nchi hiyo kwa ajili ya kulea vijana wanaohifadhi Qur’ani Tukufu na wanafunzi wa…
Makundi makuu ya haki za binadamu kwa kushirikiaana na taasisi ya mavazi ya Kiislamu ya California nchini Marekani yameamua kuanzisha kampeni ya kuchapisha fulana (T-shirt) zenye maandishi ya hadhithi ya…
Baraza la Wakfu wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Baytul Muqaddas huko Palestina, leo Jumatano limefikia uamuzi wa kusimamisha kutekelezwa ibada ya Sala katika Msikiti wa al Aqsa kwa muda…
Kamishna Mkuu wa Haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa amewasilisha ripoti yake na kusema kuwa, mashambulizi na unyama unaofanywa na jeshi na mabudha dhidi ya Waislamu wa jamii ya…
Baraza la Utafiti wa Kiislamu la Chuo Kikuu cha al Azhar nchini Misri kinaendesha mashindano ya kimataifa ya maajabu ya kisayansi ya Qur’ani Tukufu. Hayo yameripotiwa na mtandao wa habari…
Waislamu nchini Sweden wanaendesha kampeni za kupambana na sheria za nchi hiyo ambazo zinaruhusu kuvunjiwa heshima matukufu ya kidini. Hatua hiyo ya Waislamu wa Sweden imechukuliwa baada ya adui wa…
Wawakilishi wa serikali ya Thailand ambao wamekwenda kusini mwa nchi hiyo kufanya mazungumzo na Waislamu wamesema kwamba pendekezo lililotolewa na Waislamu wa maeneo hayo ni kutaka siku ya Ijumaa iwe…