Picha: Hatimaye Msikiti mkubwa zaidi Afrika wafunguliwa
Hatimaye Msikiti mkubwa zaidi barani Afrika na ambao ni wa tatu kwa ukubwa duniani umefunguliwa rasmi leo Jumatano, Oktoba 28, 2020 kwa kusaliwa Sala ya jamaa nchini Algeria. Hayo yametangazwa…
Hatimaye Msikiti mkubwa zaidi barani Afrika na ambao ni wa tatu kwa ukubwa duniani umefunguliwa rasmi leo Jumatano, Oktoba 28, 2020 kwa kusaliwa Sala ya jamaa nchini Algeria. Hayo yametangazwa…
Wananchi wa Saudi Arabia, leo Jumapili, tarehe 18 Oktoba 2020 wameanza kusali sala ya jamaa ya Alfajiri katika Msiki Mtakatiafu wa Makkah baada ya miezi saba ya karantini ya COVID-19.…
Msikiti wa kihistoria wa Süleymaniye mjini Istanbul Uturuki ni turathi ya kihistoria ya kipindi cha utawala wa Uthmania (Ottoman Empire) na licha ya kupita zaidi ya karne nne na nusu…
Maandalizi ya kuwapokea Waislamu wafanya Umra na Ziara yanaendelea katika miji mitakatifu ya Makkah na Madina. Vyombo mbalimbali vya habari vimeakisi habari hiyo na kuunukuu uongozi wa masuala ya Masjidul…
Mahakama moja ya mji wa Münster wa magharibi mwa Ujerumani jana Jumatano ilitoa hukumu iliyoruhusu kusomwa adhana katika msikiti mmoja wa mjini humo kwa ajili ya Sala ya Ijumaa. Tovuti…
Baraza la Wakfu wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Baytul Muqaddas huko Palestina, leo Jumatano limefikia uamuzi wa kusimamisha kutekelezwa ibada ya Sala katika Msikiti wa al Aqsa kwa muda…
Waislamu nchini India wanaendelea na mpango wao wa kujenga hosptali ya kutoa huduma za kila namna pembeni mwa msikiti katika kijiji cha Dhannipur cha eneo la Ayodhya huko Uttar Pradesh.…
Waislamu mjini Durban Afrika Kusini wamepanga kulalamikia hukumu ya mahakama moja ya nchi hiyo ya kupiga marufuku kusomwa adhana katika msikiti mmoja mjini humo. Mtandao wa habari wa “HeraldLive” umemnukuu…
Msikiti wa kwanza wa sola (unaotumia nguvu za jua) ambao unachunga mazingira na unapunguza sana gharama za umeme msikitini, umefunguliwa katika mji mkuu wa Kazakhstan, Nur-Sultan (Astana). Televisheni ya al…
Mufti wa Quds (Baytul Muqaddas) huko Palestina amesema kuwa, Msikiti wa al Aqsa ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu na una hadhi ya kipekee kwa Waislamu. “Msikiti huo ni mali…