Waislamu wa Sweden na sheria iliyo dhidi yao
Waislamu nchini Sweden wanaendesha kampeni za kupambana na sheria za nchi hiyo ambazo zinaruhusu kuvunjiwa heshima matukufu ya kidini. Hatua hiyo ya Waislamu wa Sweden imechukuliwa baada ya adui wa…
Waislamu nchini Sweden wanaendesha kampeni za kupambana na sheria za nchi hiyo ambazo zinaruhusu kuvunjiwa heshima matukufu ya kidini. Hatua hiyo ya Waislamu wa Sweden imechukuliwa baada ya adui wa…
Mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa ajili ya wanafunzi wa nchi za kigeni wanaosoma nchini Misri yalianza Jumatatu ya Septemba 7, 2020. Mashindano hayo yameitishwa na Kituo cha Kiislamu cha al…
Mbunge mmoja nchini Mauritania ameitaka serikali ya nchi hiyo kutumia vizuri fursa ya usomeshaji Qur’ani ili kujenga jamii salama, tiifu na iliyopambika kwa sifa bora za kibinadamu na kimaadili. Mbunge…
Qur’ani Tukufu inapotaja kitu, kwa hakika kinakuwa na maana kubwa. Hakitajwi chochote ndani ya Qur’ani bila ya kuwa na hekima yake kubwa. Miongoni mwake ni mfano uliobainishwa kwa sura ya…
Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh Tukiendelea na masomo haya ya tajwidi, audio hii hapa chini ni ya tano ya mfululizo wa masomo haya. Inahusiana na maqam na naghma…
Wanafunzi 700 wa Qur’ani Tukufu, wa kike na wa kiume wanashiriki masomo ya viwango mbalimbali ya Qur’ani Tukufu kwa njia ya Intaneti nchini Saudi Arabia. Hayo yameripotiwa na mtandao wa…
Jumuiya ya Kuhuisha Mirathi za Kiislamu nchini Kuwait imefanya sherehe za kuwaenzi na kuwapa zawadi washindi wa mashindano ya 21 ya hifdh na qiraa (tajwidi) ya Qur’ani Tukufu. Mtandao wa…
Na ni nani dhalimu mkubwa kuliko yule anayezuia misikiti ya Mwenyezi Mungu kutajwa ndani yake jina Lake na akajitahidi kuiharibu? Watu hao haitawafalia kuingia humo ila nao wanaogopa. Duniani watapata…
Qur’ani ni kitabu kitakatifu cha Mwenyezi Mungu ambacho kila herufi iliyomo ndani yake haimo juzafa, bure bilashi, bali ina maana yake kamili. Kila mfano uliomo ndani ya Qur’ani Tukufu pia…
Binti Fatma Yusuf Adli Hassan, mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa sekondari katika Chuo Kikuu cha al Azhar nchini Misri amefanikiwa kuandika Qur’ani kwa mkono wake kwa muda wa miezi…