Mahakama UK kufuatilia mauaji ya Waislamu China
Mahakama ya umma nchini Uingereza imetoa taarifa ya kukubali kufuatilia ombi la Kongamano la Kimataifa la Uyghur la kufuatilia uvunjaji wa haki za binadamu na uwezekano wa kuweko mauaji ya…
Mahakama ya umma nchini Uingereza imetoa taarifa ya kukubali kufuatilia ombi la Kongamano la Kimataifa la Uyghur la kufuatilia uvunjaji wa haki za binadamu na uwezekano wa kuweko mauaji ya…
Binti Fatma Yusuf Adli Hassan, mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa sekondari katika Chuo Kikuu cha al Azhar nchini Misri amefanikiwa kuandika Qur’ani kwa mkono wake kwa muda wa miezi…
Mkuu wa jimbo la Niger (Niger State) la katikati mwa Nigeria na ambalo ndilo jimbo kubwa zaidi katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika ametangaza habari ya kufunguliwa kituo kikuu…
Sheikh Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri maarufu kwa jina la Shaikhul Azhar, ametuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook na kusema kuwa, kitendo cha maadui…
Serikali ya Uzbekistan imetangaza kuwa kuanzia Ijumaa ya wiki hii ya tarehe 4 Septemba 2020, misikiti ya nchi hiyo itaanza tena kusaliwa Sala za Ijumaa. Mtandao wa habari wa “Aki…
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC na Chuo Kikuu cha al Azhar cha nchini Misri kimetoa taarifa tofauti za kulaani kuchomwa moto nakala ya Qur’ani Tukufu katika mji wa Malmö…
Baada ya Mahakama ya New Zealand kumuhukumu gaidi mzungu adhabu kali ambayo haijawahi kutolewa nchini humo kutokana na ukatili aliowafanyia Waislamu waliokuwa wanasali katika misikiti miwili mjini Christchurch, leo Ijumaa…
Vyombo mbalimbali vya habari likiwemo shirika la habari la Sputnik na mtandao wa habari wa “alkompis” vimeripoti habari ya kupigwa marufuku maandamano ya maadui wa Uislamu ambao walikusudia kuchoma moto…
Wazazi nchini Brunei Darussalam wameelezea kufurahishwa sana na uamuzi wa kufunguliwa upya masomo ya Qur’ani katika kituo cha Jame’ ‘Asr Hassanil Bolkiah baada ya kufungwa kwa miezi kadhaa kutokana na…
Msikiti mmoja wa kihistoria wa mjini Durban Afrika Kusini umeteketea kwa moto jana Jumatatu Agosti 24, 2020 na maafisa wa Zima Moto wameshindwa kufanya chochote. Mtandao wa “Akhbar 24” umeripoti…