Tag: Sauti

Neema ya kuridhika

Miongoni mwa ugonjwa mkubwa tulio nao wanadamu ni maradhi ya kutotosheka wala kuridhika na neema anazotupa Mwenyezi Mungu. Ni kawaida yetu kuangalie kwa husda na choyo wale tunaodhani wana neema…

Faida za Saumu

Kwa hakika, hakuna chochote kilichoamrishwa na Allah ila kina manufaa na hakuna chochote kilichokatazwa ila kina madhara. Audio hii hapa chini inaonesha sehemu ndogo ya faida nyingi sana za saumu:

error: Content is protected !!