Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu wamjibu Rais wa Ufaransa aliyeuvunjia heshima Uislamu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu amejibu matamshi yaliyo dhidi ya Uislamu yaliyotolewa na rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron aliyedai kuwa eti dini ya Kiislamu ni hatari kwa…