Ni kipi cha kujilabu?
Ni shairi kutoka kwa Ali Othman Masoud wa Zanzibar ***** Hivi hii rangi yangu, weupe wa kusifika, zawadi ya Bwana Mungu, wahadahu Lasharika, niwadharau wenzangu, huku siko kupotoka? Si jambo…
Ni shairi kutoka kwa Ali Othman Masoud wa Zanzibar ***** Hivi hii rangi yangu, weupe wa kusifika, zawadi ya Bwana Mungu, wahadahu Lasharika, niwadharau wenzangu, huku siko kupotoka? Si jambo…
Daktari mmoja wa dini ya Kihindu (Kibaniani) anayeishi nchini Canada anatumia visomo vya Qur’ani kuharakisha kupona wagonjwa wake. Mdandao wa “The Siasat Daily” umeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa, Daktari…
Nakala ndefu zaidi ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono kwenye kitambaa cha kilomita 3.1 imezinduliwa nchini India. Toleo la mtandaoni la gazeti la kila siku la The New Indian Express…
Misikiti nchini Uganda jana Ijumaa ilianza tena kutekeleza ibada za Sala ya Ijumaa baada ya kusimamishwa tangu mwezi Machi mwaka huu kutokana na janga la COVID-19. Vyombo mbalimbali vya ndani…
Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri leo Jumamosi kimeidhinisha kuanza masomo ya Qur’ani yaliyokuwa yamesimamishwa nchini humo kutokana na maambukizo ya kirusi cha corona. Mtandao wa…
Maimamu na makhatibu wa misikiti nchini Misri pamoja na vyuo vya Qur’ani na vituo vya kielimu vya nchi hiyio vimeitaka Wizara ya Wakfu ifungue upya harakati za Qur’ani na elimu…
Misikiti ya miji kadhaa ya Ujerumani imeamua kufanya sherehe za “Milango Wazi ya Misikiti” kama sehemu ya kusherehekea siku Ujerumani Magharibi na Ujerumani Mashariki zilipoungana. Hayo yameripotiwa na mtandao wa…
Sherehe za kuzindua makumbusho ya Waislamu 51 waliouawa shahidi misikitini huko New Zealand zimeongozwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Bi Jacinda Ardern. Vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti kwa wingi…
Mmiliki bora wa Benki za Kiislamu kwa mwaka huu wa 2020 amechaguliwa katika eneo la Mashariki Kati. Mtandao wa habari wa “PK Obsever” umesema kuwa Meneja Mkuu wa Qatar Islamic…
Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh Tukiendelea na masomo haya ya tajwidi kwa Kiswahili, audio hii hapa chini ni ya nane na ya mwisho ya mfululizo wa masomo haya.…