Neema ya kuridhika
Miongoni mwa ugonjwa mkubwa tulio nao wanadamu ni maradhi ya kutotosheka wala kuridhika na neema anazotupa Mwenyezi Mungu. Ni kawaida yetu kuangalie kwa husda na choyo wale tunaodhani wana neema…
Miongoni mwa ugonjwa mkubwa tulio nao wanadamu ni maradhi ya kutotosheka wala kuridhika na neema anazotupa Mwenyezi Mungu. Ni kawaida yetu kuangalie kwa husda na choyo wale tunaodhani wana neema…
Kwa hakika, hakuna chochote kilichoamrishwa na Allah ila kina manufaa na hakuna chochote kilichokatazwa ila kina madhara. Audio hii hapa chini inaonesha sehemu ndogo ya faida nyingi sana za saumu:
Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum ndugu zangu wapenzi. Kama ambavyo tumekuwa tukisisitiza mara kwa mara, hakuna chochote kilichoamrishwa na Mwenyezi Mungu ila kina faida kubwa sana na hakuna chochote kilichokatazwa…
Bismillahi ‘Aliyyun, Ya Ilahi Ya RahimuBismillahi Qawiyyun, nguvu ni Zako QayyumuBismillahi Ghafurun, toba ni Kwako HakimuHeko kumi la rehema, Allah katujaalia. Bismillahi Basirun, unatuona wajaoBismillahi Samiun, tusikize viumbeoBismillahi Munirun, nawirisha…
Allah jina takatifu, naanza ya RahmaniKwa jina Lako Latwifu, baraka za RamadhaniSamehe hai na wafu, sote tuwe neemaniRabi turuzuku toba, ni kumi la ghufurani. *** Turudi Kwake Raufu, Yaayyuha wauminiTusijifanye…
Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa umeamua kuipatia Lebanon msaada wa chakula wa tani 50 elfu baada ya silo pekee kubwa ya nchi hiyo kuteketea kikamilifu katika mripuko mkubwa uliotokea kwenye…
Idadi ya maambukizo ya kirusi cha corona inazidi kuwa kubwa barani Afrika licha ya serikali za nchi mbalimbali barani humo kuanza kufungua sekta zao za kiuchumi baada ya miezi kadhaa…
Watu wasiojulikana wenye silaha Jumatatu wameshambulia vijiji vitatu katika mkoa wa Ituri wa kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua wanavijiji 19 wakiwemo wanawake na watoto wadogo.…
Athari za Sadaka huwa kubwa pale inapotoka ndani kabisa ya moyo kabla ya kuingia mkononi mwa mtoaji. Naam, maajabu ya sadaka ni makubwa sana. Kisa kifuatacho kinaonesha sehemu ndogo ya…
Tarehe 5 Agosti 1990 jumuiya ya OIC iliainisha siku maalumu ya haki za binadamu kwa mtazamo wa dini tukufu ya Kiislamu. Siku hiyo inakumbusha tukio la kupasishwa Azimio la Haki…