Marufuku ya Hijab yaondolewa mashuleni nchini Sweden
Mahakama ya kiidara nchini Sweden imetoa hukumu ya kufuta marufuku ya Hijab iliyokuwa imewekwa kwa wanafunzi Waislamu katika jimbo la Skåne la kusini mwa nchi hiyo. Shirika la habari la…
Mahakama ya kiidara nchini Sweden imetoa hukumu ya kufuta marufuku ya Hijab iliyokuwa imewekwa kwa wanafunzi Waislamu katika jimbo la Skåne la kusini mwa nchi hiyo. Shirika la habari la…
Mwezi wa kuwazindua watu kuhusu hatari za kueneza chuki dhidi ya Uislamu nchini Uingereza, huadhimishwa mwezi Novemba kila mwaka kwa ajili ya kuwaelimisha watu kuhusu Uislamu na kufuta fikra potofu…
Waziri na balozi wa zamani wa Senegal amewarejeshea Wafaransa nishani yao waliyowahi kumpa, ikiwa ni sehemu ya kuonesha kukerwa kwake mno na vitendo vya kumvunjia heshima Nabii wa rehema, Mtume…
Wilaya ya Detroit ya jimbo la Michigan nchini Marekani imeitambua rasmi Idul Fitr kuwa sikukuu rasmi kwa wanafunzi Waislamu. Mtandao wa “Chalkbeat” umeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa, baada ya…
Kitengo cha Kupambana na Misimamo Mikali cha Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri kimeishukuru serikai ya Ubelgiji kwa kuwatimua na kuwafukuza maadui watano wa Uislamu waliokuwa na nia ya…
Polisi nchini Ufaransa wamemtia mbaroni Rasmus Paludan, raia wa Denmark mwenye chuki na Uislamu na Waislamu ambaye pia ni mkuu wa chama cha Stram Kurs chenye misimamo mikali. Paludan amekwenda…
Msikiti mkuu wa al Aqsa huko Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, Alkhamisi, Novemba 12, 2020 ulivamiwa na watu wasiojulikana. Mtandao wa habari wa “al Umma” umeripoti habari hiyo na kumnukuu…
Wanawake wanne Waislamu wanaochunga vazi la staha la Hijab wameshinda kesi mahakamani mjini New York Marekani. Wanawake hao Waislamu walifungua kesi mahakamani baada ya kulazimishwa kuvua Hijab zao kwa ajili…
Shirika moja maarufu la utafiti ambalo limeasisiwa na linaendeshwa huko Ujerumani na mke na mume Waislamu wenye asili ya Uturuki limeshirikiana na shirika la Kimarekani la Pfizer kutengeneza chanjo ya…
Wizara ya Wakfu ya Oman imetangaza habari ya kuanza kufanya kazi mfumo maalumu wa elektroniki kwa ajili ya kutoa huduma zinazohusiana na misikiti na kurahisisha kuitambua misikiti na maeneo ya…